Wasifu wa Sheikh Ali Hasan al-Halabi

Kitabu Kipya

NAMNA YA SWALA YA MTUME
Sh. Muhammad Naasir-ud-Deen al-Albaani

Tafsiri Ya Suratu Qaaf
Sheikh Naasor Khamis

Usul -us- Sunna [Misingi Ya Sunna]
Na: Al-Imam Ahmad ibn Hanbal

Hukmu Ya Ndevu Katika Uislaamu
Na: Shaykh Dr. Swaleh as-Swaleh

 

Makala Mapya

Maandamano Si Katika Uislamu
Kauli za Wanavyuoni Wa Ahlus-Sunnah

 

Wajibu wa Harakati Za Ulimi Katika Ibaada
Na: Imaam Muhammad ibn Salih ibn 'Uthaimeen (rahimahullah) & Shaykh Mashhur Hasan

Jee kugusa tupu kunavunja wudhu ?
Na: Shaykh Al-Muhaddith Mashhur Hasan Aal Salmaan

Ukweli wa Usaamah Bin Laadin
Na: Ulamaa Tofauti

Kisomo Cha Aya Za Ruqya
Shaykh Muhammad Musa Nasr


Darsa Mpya :


Sheikh Ali al-Halabi / Abu Bilaal
Sunnah Zilizosahauliwa Na Bid'ah Zilizoenea

Sehemu Ya Kwanza

Sehemu Ya Pili


 

 
قافلة الرحمة للحج والعمرة

Al-Rahma ‘Umrah & Hajj Agencies

1431 Hijri / 2010 C.E

Assalaamu ‘Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh:

Tunafuraha kuwajulisha yakwamba Insha Allaah mwaka huu 1431 Hijri/2010 tumeanzisha Barnaamij ya kupeleka watu ‘Umrah katika mwezi wa Ramadhaan, kumi la mwisho.

Na vilevile katika ‘Ibaadah ya Hijjah ya mwaka huu 1431 Hijri/2010.

Mipangilio ya Safari ya ‘Umrah (Mwezi wa Ramadhaan):

  • Kuondoka ni tarehe 17 ya mwezi wa Ramadhaan

  • Kurudi ni baada ya ‘Eid Insha Allaah

  • Safari itaanzia Nairobi – Jeddah

  • Gharama ya Safari (ikiwemo Hoteli na Usafiri) ni $1500 U.S

  • Siku tatu tutakuwa Madinah na Siku kumi za mwisho tutakuwa Makkah mpaka ‘Eid.

  • Safari ya Kurudi Jeddah – Nairobi. Itakuwa baada ya ‘Eid

Twapenda kuwahimiza wale wale wenye niya ya kwenda na sisi waharakishe kuleta Passport zao na picha Nne kwa ajili ya kufanya maandalizi. Sababu ni kwamba Viza zitafungwa kabla ya mweizi wa Ramadhaan kuanza.

Mipangilio ya Safari ya Hajj 2010

Amma kwa upande wa Hijjah ya mwaka huu:

  • Kuondoka ni katika wiki ya mwisho ya mwezi wa Dhul Qa’dah

  • Kurudi ni mwisho wa mwezi wa Dhul Hijjah

  • Safari itaanzia Mombasa – Nairobi – Jeddah

  • Kurudi Jeddah – Nairobi – Mombasa

  • Gharama ya Safari (ikiwemo Hoteli na Usafiri na Chakula Makkah, Mina kwa siku tano) ni $2900 U.S

  • Amma mas’ala ya Udh-hiya (kuchinja ambayo ni $100 U.S na Chakula Makkah na Madinah) kila mtu ni juu yake.

  • Chakula tukiwa Mina kwa siku tano itakuwa juu yetu (Ndani ya Gharama ulizolipa)

MAANDALIZI YA SAFARI YA HIJJAH

Tutakuwa na Darsa za kuhusu mas’ala ya Hajj na tutawatangazia pamoja na Naswaha kutoka kwa Daktari wetu tutakaekuwa nae katika msafara huu.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa njia zifuatazo:

  • Tutumie e-mail katika info@qssea.net au

  • Simu nambari +254 723471820 (Abu Bilaal Athman Na’man)

  • Simu nambari +254 721473181 (Abu Farida Muhammad Basawad)

  • Simu nambari +254 700365253 (Muhammad Abdillaah)

Qiyaam katika Ramadhaan (Salatu-Taraweeh)
Imaam Al-Albaanee

Sunnah Za Ramadhaan Zilizosahauliwa
Na: Imaam al-Albaani (rahimahullaah)

Kuthibitisha Mwezi Wa Ramadhan Na Tarehe Nyengine Za Kiislamu
Na: Dr. Muhammad al-Jibaaly
 
  Wakati Gani Atafungua Mwenye Kufunga?(pdf)

Marekebisho ya Makosa ya ki-Historia Kuhusu “Uwahabi”(pdf)
Na: S’ad Shuway’ir

Wanawake Kusali Mahali Hawamwoni Imaam
Imaam Ibn 'Uthaimeen
 
Haadhihi Da'watuna (Hii ndio Da'wa yetu)(pdf)
Na: Imaam Muhammad Nassir ud-Deen al-Albanee

Wajibu Wa Kushikamana na Jama'aah
Na: Shaikh Abdus Salaam Ibn Burjiss

Suluhisho La Matatizo Ya Umma Huu
Na: Imaam Muhammad Naasir ud-Deen al-Albaanee
  Fatwa Kuhusu Hukmu ya Taariku as-Salat (Mwenye kuwacha Swala)
Na: Imaam Abdul-Aziz bin Baaz na Imaam Ibn Uthaimeen

Walivyosema Wanavyuoni Kuhusu Jamaa'at ut-Tableegh
Na: Bin Baaz, al-Albaanee, 'Aafeefee, aas-Sheikh, ibn Fawzan

Umuhimu wa 'Aqeedah
Na: Sheikh 'Abdul-'Azeez al-Qaaree
"Na atakaye ubadilisha wasia baada ya kuusikia, basi dhambi yake ni juu ya wale watakao ubadilisha; hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kujua." Baqarah 2:181
Soma na upigishe chapa

 

  'Aqeedatu at-Tahaawiyah(pdf)
Na: Imaam Abu Ja'afar at-Tahawee

Kanuni za Imani ya Ahlus Sunnah Kuwahusu Maswahaba - Shaikh 'Abdul-Muhsin bin Hamad Al-'Abbaad

Ikhwaan al-Muslimeen (The Muslim Brotherhood)

 

 

Jitahadhari na (watu wa) Surooree!

Shaykh Muqbil (rahimahullah) amesema: "Lakini utakacho ona ni mtu ahifadhi masomo yake mawili au matatu kisha azunguke nayo kwenye misikiti, akichemka na kunguruma (kama beberu). Kisha maswaahib alionao wambandike jina Shaikh-ul-Islaam! Haya jamani hii ndiyo ilimu? ..."

  Jee, Isomwapo Qur'aan twafaa kuzungumza?

Ibn Katheer asema: "Maana yake ni ukiwa ndani ya Swala ya Jamaa'ah, pindi Imamu anaposoma kwa sauti (swala za Alfajiri, Maghrib na 'Ishaa') kama ilivyopokewa na Imaam Muslim kwenye Saheeh yake kutoka katika hadeeth ya Abu Moosa Al-Ash'aree ..."

Imaam Al-Albaanee kuhusu Jihaad

"Kuhusu Jihaad, Ewe ndugu yangu, katika wakati huu na kabla ya wakati huu, ni fard 'ayn, kwa sababu matatizo tuliyo nayo si matatizo ya Bosnia na Chechnya (peke yao) ... kuna Mayahudi ambao walioivamia Falesteen, na hata nchi moja ya Kiislamu haijajisongeza kutekeleza wajibu wa kupambana nao Jihaad, na kuwang'oa na kuwatumbukiza baharini ..."

Kujitolea Muhanga (Suicide Bombing) Katika Mizani ya Wanavyuoni wa Ahlul-Sunnah

...haifai kushirikiana nao (Suicide Bombers), wala wasipewe salaam. Bali, inafaa kujitenga nao, na watu wanapaswa kuonywa kuhusu maovu yao. Kwani wao ni Fitnah kubwa (mtihani/msiba) na ni wenye kuwadhuru Waislamu, na ni ndugu zao mashetani!"

Misemo Ya Salaf as-Saalih Kuhusu Bidah na Watu Wake (PDF)

Al-Layth bin Sa’d (rahimahullah) amesema: “Hata kama lau ningelimuona mtu wa hawaa (matamaniwa – yaani mtu wa bid’ah) atembea juu ya maji, nisingelimkubali” Basi Imaam ash-Shaafi’ee (rahimahullah) nae akasema:“Yeye (al-Layth) ameteleza kidogo (katika maneno yake). Mimi hata kama ningelimuona atembea angani, nisingelikubali chochote kutoka kwake.