|
Jitahadhari na (watu wa) Surooree!
Shaykh Muqbil (rahimahullah) amesema: "Lakini utakacho ona ni mtu ahifadhi masomo yake mawili au matatu kisha azunguke nayo kwenye misikiti, akichemka na kunguruma (kama beberu). Kisha maswaahib alionao wambandike jina Shaikh-ul-Islaam! Haya jamani hii ndiyo ilimu? ..."
| |
Jee, Isomwapo Qur'aan twafaa kuzungumza?
Ibn Katheer asema: "Maana yake ni ukiwa ndani ya Swala ya Jamaa'ah, pindi Imamu anaposoma kwa sauti (swala za Alfajiri, Maghrib na 'Ishaa') kama ilivyopokewa na Imaam Muslim kwenye Saheeh yake kutoka katika hadeeth ya Abu Moosa Al-Ash'aree ..."
|
|
Imaam Al-Albaanee kuhusu Jihaad
"Kuhusu Jihaad, Ewe ndugu yangu, katika wakati huu na kabla ya wakati huu, ni fard 'ayn, kwa sababu matatizo tuliyo nayo si matatizo ya Bosnia na Chechnya (peke yao) ... kuna Mayahudi ambao walioivamia Falesteen, na hata nchi moja ya Kiislamu haijajisongeza kutekeleza wajibu wa kupambana nao Jihaad, na kuwang'oa na kuwatumbukiza baharini ..."
|
|
Misemo Ya Salaf as-Saalih Kuhusu Bidah na Watu Wake (PDF)
Al-Layth bin Sa’d (rahimahullah) amesema: “Hata kama lau ningelimuona mtu wa hawaa (matamaniwa – yaani mtu wa bid’ah) atembea juu ya maji, nisingelimkubali” Basi Imaam ash-Shaafi’ee (rahimahullah) nae akasema:“Yeye (al-Layth) ameteleza kidogo (katika maneno yake). Mimi hata kama ningelimuona atembea angani, nisingelikubali chochote kutoka kwake.
|
|