قافلة الرحمة للحج والعمرة
Al-Rahma ‘Umrah & Hajj Agencies
1431 Hijri / 2010 C.E
Assalaamu
‘Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh:
Tunafuraha
kuwajulisha yakwamba Insha Allaah mwaka huu 1431 Hijri/2010 tumeanzisha
Barnaamij ya kupeleka watu ‘Umrah katika mwezi wa Ramadhaan, kumi la
mwisho.
Na vilevile
katika ‘Ibaadah ya Hijjah ya mwaka huu 1431 Hijri/2010.
Mipangilio ya Safari ya ‘Umrah (Mwezi wa Ramadhaan):
-
Kuondoka ni tarehe 17 ya mwezi wa Ramadhaan
-
Kurudi ni baada ya ‘Eid Insha Allaah
-
Safari itaanzia Nairobi – Jeddah
-
Gharama ya Safari (ikiwemo Hoteli na Usafiri) ni
$1500 U.S
-
Siku tatu tutakuwa Madinah na Siku kumi za mwisho
tutakuwa Makkah mpaka ‘Eid.
-
Safari ya Kurudi Jeddah – Nairobi. Itakuwa baada ya
‘Eid
Twapenda
kuwahimiza wale wale wenye niya ya kwenda na sisi waharakishe kuleta
Passport zao na picha Nne kwa ajili ya kufanya maandalizi. Sababu ni
kwamba Viza zitafungwa kabla ya mweizi wa Ramadhaan kuanza.
Mipangilio ya Safari ya Hajj 2010
Amma kwa
upande wa Hijjah ya mwaka huu:
-
Kuondoka ni katika wiki ya mwisho ya mwezi wa Dhul
Qa’dah
-
Kurudi ni mwisho wa mwezi wa Dhul Hijjah
-
Safari itaanzia Mombasa – Nairobi – Jeddah
-
Kurudi Jeddah – Nairobi – Mombasa
-
Gharama ya Safari (ikiwemo Hoteli na Usafiri na
Chakula Makkah, Mina kwa siku tano) ni $2900 U.S
-
Amma mas’ala ya Udh-hiya (kuchinja ambayo ni $100 U.S
na Chakula Makkah na Madinah) kila mtu ni juu yake.
-
Chakula tukiwa Mina kwa siku tano itakuwa juu yetu
(Ndani ya Gharama ulizolipa)
MAANDALIZI YA SAFARI YA HIJJAH
Tutakuwa na
Darsa za kuhusu mas’ala ya Hajj na tutawatangazia pamoja na Naswaha
kutoka kwa Daktari wetu tutakaekuwa nae katika msafara huu.
Kwa maelezo
zaidi wasiliana nasi kwa njia zifuatazo:
-
Tutumie
e-mail katika
info@qssea.net au
-
Simu
nambari +254 723471820 (Abu Bilaal Athman Na’man)
-
Simu
nambari +254 721473181 (Abu Farida Muhammad Basawad)
-
Simu
nambari +254 700365253 (Muhammad Abdillaah)
|