Makala Mapya
Shahaada - Maana Yake na Sharti Zake
Na: Shaykh Dr. Swaaleh as-Swaaleh

Katika Matunda ya Taqwa (Min Thamarati-Taqwa
Na: Imaam Muhammad ibn 'Uthaimeen

Hukmu Ya Tasbeeh
Na: Imaam Naasir-ud-Deen al-Albaanee

Wanawake Kusali Mahali Hawamwoni Imaam
Imaam Ibn 'Uthaimeen

Maandamano si katika mafunzo ya Uislamu
Na: Fatwa tofauti kutoka kwa wanavyuoni

Mawaidha Mapya:

Abul Fadhl Qaasim
Manhaj Ya Salaf :
Semina Ya Arusha 1428/2007

Abu Bilaal Uthmaan Na'maan
1.Misingi Ya Da'watu Salafiyya
2.Nguzo Za Da'watu Salafiyya

Abu Hashim
1. Sifatu-Salaat (cha al-Albaanee)Pt 1-8

'Aqeedatu at-Tahaawiyah(pdf)
Na: Imaam Abu Ja'afar at-Tahawee

Hukmu ya Kusherehekea Valentine's Day
Na: Imaam Muhammad ibn Saleh al-'Uthaimeen

Khawarij na Murji'ah Hawana Tofauti(pdf)
Na: Sheikh Abdul Malik ibn Mubaarak ar-Ramadaani
Da'wah-as-Salafiyyah ni Mwiba wa Koo kwa Khawaarij(pdf)

Marekebisho ya Makosa ya ki-Historia Kuhusu “Uwahabi”(pdf)
Na: S’ad Shuway’ir

Wasifu wa Sheikh Naasir-ud-Deen al-Albaanee (rahimahullah)(pdf)


Haadhihi Da'watuna (Hii ndio Da'wa yetu)(pdf)
Na: Imaam Muhammad Nassir ud-Deen al-Albanee

Wajibu Wa Kushikamana na Jama'aah
Na: Shaikh Abdus Salaam Ibn Burjiss

Suluhisho La Matatizo Ya Umma Huu
Na: Imaam Muhammad Naasir ud-Deen al-Albaanee
Fatwa Kuhusu Hukmu ya Taariku as-Salat (Mwenye kuwacha Swala)
Na: Imaam Abdul-Aziz bin Baaz na Imaam Ibn Uthaimeen

Walivyosema Wanavyuoni Kuhusu Jamaa'at ut-Tableegh
Na: Bin Baaz, al-Albaanee, 'Aafeefee, aas-Sheikh, ibn Fawzan

Umuhimu wa 'Aqeedah
Na: Sheikh 'Abdul-'Azeez al-Qaaree


"Na atakaye ubadilisha wasia baada ya kuusikia, basi dhambi yake ni juu ya wale watakao ubadilisha; hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kujua." Baqarah 2:181
Soma na upigishe chapa

Qiyaam katika Ramadhaan (Salatu-Taraweeh) - Imaam Muhammadh Naasir-ud-Deen Al-Albaanee

Kanuni za Imani ya Ahlus Sunnah Kuwahusu Maswahaba - Shaikh 'Abdul-Muhsin bin Hamad Al-'Abbaad

Ikhwaan al-Muslimeen (The Muslim Brotherhood)


Jitahadhari na (watu wa) Surooree!

Shaykh Muqbil (rahimahullah) amesema: "Lakini utakacho ona ni mtu ahifadhi masomo yake mawili au matatu kisha azunguke nayo kwenye misikiti, akichemka na kunguruma (kama beberu). Kisha maswaahib alionao wambandike jina Shaikh-ul-Islaam! Haya jamani hii ndiyo ilimu? ..."

Jee, Isomwapo Qur'aan twafaa kuzungumza?

Ibn Katheer asema: "Maana yake ni ukiwa ndani ya Swala ya Jamaa'ah, pindi Imamu anaposoma kwa sauti (swala za Alfajiri, Maghrib na 'Ishaa') kama ilivyopokewa na Imaam Muslim kwenye Saheeh yake kutoka katika hadeeth ya Abu Moosa Al-Ash'aree ..."


Imaam Al-Albaanee kuhusu Jihaad

"Kuhusu Jihaad, Ewe ndugu yangu, katika wakati huu na kabla ya wakati huu, ni fard 'ayn, kwa sababu matatizo tuliyo nayo si matatizo ya Bosnia na Chechnya (peke yao) ... kuna Mayahudi ambao walioivamia Falesteen, na hata nchi moja ya Kiislamu haijajisongeza kutekeleza wajibu wa kupambana nao Jihaad, na kuwang'oa na kuwatumbukiza baharini ..."


Kujitolea Muhanga (Suicide Bombing) Katika Mizani ya Wanavyuoni wa Ahlul-Sunnah

...haifai kushirikiana nao (Suicide Bombers), wala wasipewe salaam. Bali, inafaa kujitenga nao, na watu wanapaswa kuonywa kuhusu maovu yao. Kwani wao ni Fitnah kubwa (mtihani/msiba) na ni wenye kuwadhuru Waislamu, na ni ndugu zao mashetani!"


Misemo Ya Salaf as-Saalih Kuhusu Bidah na Watu Wake (PDF)

Al-Layth bin Sa’d (rahimahullah) amesema: “Hata kama lau ningelimuona mtu wa hawaa (matamaniwa – yaani mtu wa bid’ah) atembea juu ya maji, nisingelimkubali” Basi Imaam ash-Shaafi’ee (rahimahullah) nae akasema:“Yeye (al-Layth) ameteleza kidogo (katika maneno yake). Mimi hata kama ningelimuona atembea angani, nisingelikubali chochote kutoka kwake.

1 1 a